Sitaki na sitaki: Kipengele cha kwanza cha ilani tarajiwa kuhusu utafiti na uchapishaji katika Usuli
John Nyanje Kwanza nitumie abra hii kuwashukuru wahariri waandimizi wenzangu kwa kunipa fursa hii ajuadi inayonipahadhi ya kuandika makala haya ya kwanza ya jarida hili la kimtandao laUsuli. Kwa hakika, hii ni tajamala kubwa sana, kwani sina chochote cha ziada, isipokuwa raghba kama mwanazuoni wa maswala ya Jumuiya yetu pendwa ya Afrika Mashariki. ...