Mnamo Jumanne, tarehe 11 Novemba 2025, Avid Readers Forum ilifanya kikao chake cha mwisho kwa muhula wa masomo, ambapo wanajumuiya walijadili hadithi fupi “Nizikeni Papa Hapa” iliyoandikwa na Ken Walibora. Kikao hiki kiliongozwa na wasimamizi Sherine na Braxtone, na kuhudhuriwa na wanafunzi wa Kiswahili na wanachama wa klabu. Kikao kilianza kwa kusoma hadithi kwa sauti na kufuatiwa na majadiliano ya kina kuhusu dhamira, wahusika na ujumbe mpana wa kazi hii mashuhuri ya fasihi ya Kiswahili.
Our Moral Code
As members of Kabarak University family, we purpose at all times and in all places, to set apart in one s heart, Jesus as Lord. (1 Peter 3:15)
E-Resources
Student Affairs
Quick Links
Public info

Located 20 Kilometres (12mi) from Nakuru City CBD, along the Nakuru Eldama Ravine road.
P.o private bag 20157, Kabarak.
Admissions Inquiry: admissions@kabarak.ac.ke
General Inquiry: info@kabarak.ac.ke
ICT HelpDesk: icthelpdesk@kabarak.ac.ke
Accomodation: accommodation@kabarak.ac.ke
General Inquiry: 0729223370
Admissions: 0202114658
Student Finance: 254705184373
Accommodation: 254773552932
Emergency Hotline: 0110009277





